Gabon yawika huku wenyeji wakipata sare
![]() |
Wachezaji wa Gabon wakisherehekea Goli |
Timu ya Gabon ilianza vyema kampeni yake ya kulinyakua kombe la mataifa ya Afrika baada ya kuishinda Burkina Fasso na kupanda katika kilele cha kundi A.
Burkina Fasso walikuwa hatari kwa kipindi kirefu cha mechi hiyo kupitia wachezaji Vitesse Arnhem na mchezaji wa Chelsea anayecheza kwa mkopo Betrand Traore wakishindwa kumfunga mlinda lango Didier Ovono katika vipindi vyote viwili.
![]() |
Pierr Emerick Aubamayeng |
Mchezaji wa Middlesbrough Emilio Nsue aliiweka Equitorial Guinea kifua mbele katika dakika ya 16 licha ya kuonekana kwamba alikuwa ameotea.
Francis N'ganga alipiga mlingoti wa goli huku Congo wakidhibiti mpira na kufanya mashambulizi chungu nzima katika kipindi cha pili kabla ya mshambuliaji wa West Brom Thievy Bifouma kufunga katika eneo la hatari.
Congo ingeshinda mechi hiyo lakini Dominique Malonga alikosa bao la wazi.
Chanzo: BBC Swahili
No comments:
Post a Comment