Wanne wafariki kutokana na bomu Nigeria
![]() |
Bomu lawauwaa watu wane Nigeria |
Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa mlipuaji wa kujitolea muhanga amewaua watu wanne na kuwajeruhi wengine kadhaa katika shambulizi la kituo cha basi huko Potiskum.
Jumapili iliopita walipuaji wawili wa kujitolea muhanga walijilipua na kuwaua watu wanne katika soko moja lililojaa watu.
Chanzo: BBC Swahili
No comments:
Post a Comment